Tuesday 11 June 2013

Niwito wangu hawa wabunge wafutwe kazi na namba 2 wachukue usikani

Hawa wabunge wote wafutwe,na hakuna kwenda uchaguzi nambari mbili kwa kila chama kama ni TNA,AMANI CORD AU CHAMA CHOCHOTE WALIOCHUKUA KWA KURA ZA MCHUNJO KWA KILA CHAMA WAWE WABUNGE.

   KILA CHAMA KIWEKE NAMBA 2 WAKE MFANO IWAPO TNA ILIKUA NA NAMBA 2 WAWE WABUNGE KWAZIA KESHO

No comments:

Post a Comment