Tuesday 11 June 2013

Niwapongeza wana harakati wakenya

 Nawapongeza wanaharakati wa Kenya kwa kazi yao,lakini mujue hawa wabunge wanaweza tuma watu ili kuvuruga harakati zenu.

  Niwambie tu Akuna kitu kizuri uja rahisi lazima kupitia ugumu fulani

No comments:

Post a Comment