Tuesday 9 April 2013

Kwanini Afrika ni masikini?

   Afrika ina Dhahabu,Almasi,Chuma,Makaa ya mawe,Mafuta na hii nikutokana na mikataba ya kisiri kila kitu kikiwekwa wazi Afrika yote haitakua masikini.

    Lakini kukiwekwa watu kama Amos Kimunya basi tutawekewa mikataba isio kuwa na maslai kwa Taifa na sikimunya peke yake nikila mwafrika aheshimu  RASILIMALI ZA TAIFA NA ASIPEWE 10% Kuuza Nchi

No comments:

Post a Comment