Tuesday 9 April 2013

Kama maombi si sehemu ya maisha yetu ni ukweli kabisa kuna hatari ya kuishi maisha ya unafiki

      Kama maombi si sehemu ya maisha yetu ni ukweli kabisa kuna hatari ya kuishi maisha ya unafiki.

Na hii ndio sababu kuu ya sisi binadamu kuanguka katika majaribu ya kupewa pesa na kukubali kumupokonya mshindi ushindi nakumupa asiestahili kupewa

Na walio anguka kwa uwo mtahani ni Issack Hassan na Willy Mutunga

No comments:

Post a Comment