Thursday 21 March 2013

Wakenya tuliofinyiliwa ni wengi kuliko wanao tufinyilia

       Kuna masikini kwa kila kabila Mkikuyu,Mkamba,Mjalio,Mkalenjin,Mtaita,Mdigo,Mgiriama,Mkisii,Mubaluya kwa ufupi makabila yote 42 apa kenya tumefinyiliwa sana tangu 1963 mpaka leo.


        Ivyo tunganishe nguvu kumutetea Raila Amollo Odinga,Yeye nimkenya na mkimulinganisha na mupizani wake Uhuru Kenyatta yeye ndio anafaa Uhuru ni ananunua watu.

    2;Hakuna mkikuyu aweza tenda haki jaribu utizame nyuma uwone kazi ziki tokea 42 utapata wakikuyu 30 na 12 marafiki wao, Apa namanisha mtu yule wanamuona kua uwasikiza ivyo wakenya hii ninafasi yakipekee kwetu wakenya kujikomboa.

       MSIFANYE FUJO NA MSIWASIKIZE AWA WANAUTUMIKA KUSEMA AU KUSEMEA MAFISADI KENYA TUNAJUANA WENGI WETU WAKIPEWA PESA USAHAU UMOJA

 HAKUNA KITU MTU AWEZI FANYA KWA PESA,TUSIKUBALI KUTAWALIWA NI PESA NAOMBA TUMUPE Raila Amollo OGINGA NAFASI MIAKA 5 SINYINGI KAMA TULIWAPA MIAKA 50 MAFISADI HII TANO SICHOCHOTE

No comments:

Post a Comment