Saturday 2 March 2013

Size 8 ANA VAKO NYI SANA

      Sote twajua wenzetu hawa uwa wanaongea vizuri sana jukwaani lakini ayatoki moyoni ivyo mkenya jua mfa maji awachi kushika kila kitu.

     Mafisadi watatumia kila njia kupumbaza,

JOMO KENYATTA NDIO AMETUFIKISHA KENYA KWA HII SHIDA TULIO NAE MSIKUBALI NG'O KUMUPA Uhuru Urais kwavyovyote vile

KATAENI WAKENYA

No comments:

Post a Comment