Saturday 30 March 2013

Raila si mtu wakuweka watu mufukoni

     Raila si mtu waku weka watu mifukoni,na hatua zozote za kuzima vuguvugu la mabadiliko hazitowezekana.

   Tutaendelea kuwaunganisha Wakenya wote bila kujal propaganda zinazo fanywa na Wakikuyu na washirika wao dhidi ya Raila Amollo Odinga.

     ili kuleta mabadiliko ya klweli KENYA

No comments:

Post a Comment