Saturday 30 March 2013

Ahmednasir Tulifikiri ni mtu mwenye utu kumbe ovyo kabisa

Uyu ni wakili wa IEBC Ahmednasir,sisi wakenya tulimuthamini na kumuamini na imani yetu ikatupelekea tukamupa jukumu la kuchagua majaji kumbe umuthaniae ndie sie,Amegeuka kua ni miongoni wa mutu wakutumiwa

No comments:

Post a Comment