Monday 17 June 2013

USALAMA UKIZOROTA NANI ALAUMIWE ? KAMA SIO RAIS UHURU AFAA KUFUTA MKUU WA POLIS DAVID KIMAYO

     USALAMA NCHINI UKIWA MUBAYA NASI WAKULAUMIWA NI RAIS SIONI SABABU IPI YAENZA MUWEKA MTU KAZINI KAMA YEYE MWENYEWE HAWAJIBIKI UBAYA UANZA JUU

Fighting email spam/Kupigana na ukora wa email

  Viruses aren't the only annoying things delivered via email.If you're like most users,well over half the messages delivered to your email inbox are unsolicited,unouthorized and unwanted in other word spam.These spam messages are the online equivalent of the junk mail you receiver your postal mailbox and It's a huge problem
   Though it's impossible to do away with 100% of the spam you receive,there steps you can take to reduce the amount of spam you have to deal with.
  Protecting your email address check in internet all the step
Stop exposing your email,its a simple fact

Wednesday 12 June 2013

Wabaya wako niwale wasio wajibika

   Mtu akiwa awajibiki popote pale basi mchukue kua adui yako,wazuri wako ni wale ukiwapa kazi wanaifanya bila malalamiko David Kimayo afai.

Rais muwajibishe au tukuwajibishe wewe

Anae kuchekea usoni usidhani rafiki

   Wote wanaokuchekea Rais usidhani wanakupenda anae kupenda niyule ukimupa cheo anakifanya vizuri sio hawa unawapa vyeo na wanaku angusha.

Rais ya paswa uwe na imani na uwajibishe David Kimayo Afai kuwa polis

  Rais tukuelewe vipi au mpaka wezi watuibie sote ndio umuwajibishe Mkuu wa polisi wahuni wamepata wapi jeuri ya kuibia simu wakenya na pesa.

Wenye hila siku zote hawabebeki,USALAMA NCHINI HAUPO.

    Wenye hila siku zote uwa na yao wamejifichia wakenya hali ya usalama umezorota kupita maelenzo,Watu wananyang'nywa mchana peupe apa Kenya.

    Je hii ni sawa? Haiwezekani watu kuibiwa mchana peupe hii ni njama ya serikali,Simu zinaenda mtu anapokonywa mchana Nairobi.

  Wakenya jueni kua kuna kitu kinaendelea,Na ukimya wetu utatumalinza

Tuesday 11 June 2013

Niwapongeza wana harakati wakenya

 Nawapongeza wanaharakati wa Kenya kwa kazi yao,lakini mujue hawa wabunge wanaweza tuma watu ili kuvuruga harakati zenu.

  Niwambie tu Akuna kitu kizuri uja rahisi lazima kupitia ugumu fulani

MTU AKIMWAGA MBOGA WE MWAGA UGALI

WABUNGE NI MAFISI NA DAWA YA MOTO NI MOTO,AU UKIWA NA MUTU AKIMWAGA MGOGA WEWE MWAGA UGALI NA UKANYAGE KANYAGE KWA MCHANGA ASIJE AKALA,KWAKUA WAO NI NGURUE

UCHAGUZI NI GARAMA RAIS AFUTE WOTE NA WAWEKWE WENGINE

 HAWA WABUNGE WAFUTWE WOTE NA KILA CHAMA KILETE MTU WAKE BUNGENI KUSIFANYWE UCHAGUZI.

 HAWA WABUNGE TULIO WATUMA KUFANYA HAWAKUFANYA KAZUI NI KUJILIMBIKIZIA PESA

Niwito wangu hawa wabunge wafutwe kazi na namba 2 wachukue usikani

Hawa wabunge wote wafutwe,na hakuna kwenda uchaguzi nambari mbili kwa kila chama kama ni TNA,AMANI CORD AU CHAMA CHOCHOTE WALIOCHUKUA KWA KURA ZA MCHUNJO KWA KILA CHAMA WAWE WABUNGE.

   KILA CHAMA KIWEKE NAMBA 2 WAKE MFANO IWAPO TNA ILIKUA NA NAMBA 2 WAWE WABUNGE KWAZIA KESHO

MP's Salaries,Wao wajulikane kwa hilo Jina la NGURUE AU FISI ATA WAKITOKA BUNGE

Niwito wangu kuwajua kwa jina la Ngurue au Fisi milele hawa wa BUNGE ,Hii ni kuonyesha  kua hawa si watu ni wanyama.

 Wao huenda Duka tunanzo enda sisi,Wako kenya hii tulioko hawako kwa dunia nyingine

Thursday 6 June 2013

Kabla ujafa akikisha umetenda mema apa duniani

Sote tutakufa akuna atakae ishi milele ukikuyu wako utakusaidia siku ya hesabu,Kila mtu atavuna alichopanda ikiwa ulipanda madharau utavuna madharau uko juu mbiguni.

Kama ulipanda fitina utavuna fitina

Iwapo ulipanda kudhulumu utavuna dhuluma

Kama ulipanda daraja "class" utavuna daraja lako wewe na unaoringa nao nyote

JUU KWA MUNGU AKUNA RUSHWA WALA MAPENDELEO HIVYO KABLA UJAFANYA LOLOTE JIULIZE MARA KUMI KUMI JE HILI NINALO LIFANYA KWA MUNGU NI SAWA

TENDO LA KUMUDHARAU BINADAMU MWEZAKO SITENDO JEMA,KATAA KUBALI

Ukiwa ujafanyia utafiti jambo usiliongelee

 Mtu akiwa ajalifanyia utafiti janbo  asiliongelee kabisa huku tunako elekea nikubaya wakenya imefikia wakati tuelezane ukweli kama kweli twataka kujikwamua na komeo za kuturudisha miaka 1000 nyuma

Mjue mkikuyu sio chuki lakini ndivyo alivyo ni ndugu zetu lakini mambo yao yanaumiza sana

  Nivizuri kujuana sisi tusiwachukie vile wanavyo tuchukia lakini ni vyema tuwajue Njama zao ni mbaya,Mini mewasoma ile mbaya

Madharau akienda kisumu na Madharau alipokua akitoka kisumu

   Raila Odinga akuna asiemujua na serikali hii imevuka mipaka kwanza wamekua wakipora ushindi wa Raila,pili kumudharau nijambo la aibu na fedhea kwa serikali hii.

    Uhuru Kenyatta jambo hili la Raila kudharauliwa litakuweka pabaya ,Ukweli ni ulio wapa cheo waweza kukuangusha au kukujenga.

     Wao twawajua uwa na kichini chini sana lakini jambo likifanywa ni famili au shirika fulani sisi atutazami alio tufanyia.Tuna laumu kiongozi ,Baba au muhusika mkuu wa tasisi hio

Uhuru Kenyatta tunakulaumu kwa  100% Raila kuonyeshwa madharau

1.Akienda kisumu

2 Akirudi

Imemubidi Raila Odinga kwenda kukodisha Hoteli kugoja ndege ambao alikua aunganishe kwenda Afrika kusini.

Aiwezekani kua Rais hana habari,Ata usipo muheshimu sisi tutazidi kumuheshimu

Raila Odinga,Kudharauliwa tusikubali

   Wakenya baada ya kuvumilia yote aliofanyiwa Raila bado madharau yanaendeshwa na haya yote anafanyiwa kwa mupango ulio pangika ili kutafuta wapi watamumalizia.

    Wakenya Raila Odinga amefanyia nchi hii mambo mengi makubwa tusikubali yeye kudharauliwa kiasi hiki
tuzidi kumupenda na kumuenzi RAO

Thursday 2 May 2013

Hivi ni sawa mtu kushikwa nilivyo ona kwa siku ya wafanyakazi jana?Haifai na tunakorudi nikubaya uhuru wakujieleza unapotezwa polepole

Francis Atwoli ni mtu wa maslai tumekua tukiumizwa miaka na miaka kwa mishahara juzi alisema kua atatetea wabunge kupewa mishahara mikubwa,
 
Eti hali ya maisha ni magumu kwani wabunge wao ununua wapi unga,mboga na mahitaji muhimu? huu ni mchenzo na Kenya sote ni mafisadi hakuna mwe utu na huruma na mkenya masikini

NGO's Afrika zina jinufaisha wao na ndugu zao wakaribu,Kwa ufupi ni feki

 NGO's zimekua zikijinufaisha kupitia migongo wa masikini picha na habari zinazo tolewa ni feki ambanzo upangwa ni wajanja wachache.

Serikali iko mbele kuandaa hawa NGO's feki kwakua wao ndio wageni uwasiliana nao kwanza kabla hawaja apa Kenya.

 Juzi nimeangalia kipindi kimoja jamaa mmoja uko pwani,eti alianza nawatoto wawili alafu akaongeza watoto nakua na shule

Wakenya mujue hapa kenya kuna ukora wakupindukia,Watu wanakua wajanja sana kufunika watu macho,Nakujinufaisha wao na washiriki wao wakaribu.

Musidanganywe kua mtu aweza anzisha NGO na kuanza kufaidika haraka hii nimipango ya wakuu wetu serikalini

Mauwaji Busia,Thika,Kisumu na kona zote Kenya ni kilio

Tumerudi enzi za ukosefu wa usalama,Kama watu waweza ingiliwa na na majambazi kusema watakula chakula cha usiku apo kutoka asubui na ku baka "rape" familia zima hii ni Kenya?

Jambo muhimu kuhusu fikra nikwamba hazinyamazishwi kwa kutumia mabavu

Jambo muhimu kuhusu fikra ni kwamba hazizimwi kwa kutumia mabavu wala kufungwa na mamlaka

Watu huweza kufungwa lakini fikra ni huru daima

Rise and fall of any Nation rest on shouders of her citizens

Kuanguka kwa serikali na kufanikiwa kuko mikononi mwa Raiya wenyewe iko sikiu tutachoka na watu wakichoka hawasikii ligah yeyote

Mabilioni kwa mtu mmoja nijambo halikubaliki Kenya

Wakenya tuna kila kitu kinachotuwezesha kuishi bila matatizo makubwa yanayotukabili

Haiwezekani au hakuna namna yeyote mtu mmoja anaweza kuwa na mabilioni ya shilingi katika

Akaunti huku watu wakikosa maji au vifaa hosipitalini na shuleni

Watu wakipoteza matumaini huwezi kuwafanya lolote

Tuesday 9 April 2013

Wakikuyu uwa na kipawa cha kuongea vizuri sana,Lakini ukweli ni wale wale

Wenzetu hawa uwa niwazuri sana kwakuongea mbele ya watu lakini ni wale wale,Sikiza "Seech" ya Babake na Uhuru Jomo Kenyatta,Kibaki na hii ilio tolewa leo ni Uhuru Kenyatta.

    Sisi tunacho hofia ni rasilimali zetu apa Kenya kama Jomo alinyakua aliweza ku chukua Urais na kunyakua Ardhi alivyo fanya.Je mafuta,Makaa ya mawe dhahabu,chuma na Gesi je  siwatu wa inje watajichukulia bure? Hii nikwakua kama tujuavyo mikataba mibovu,Ambayo itaumiza Nchi kama nchi.

      TUSHA SHUHUDIA AFRIKA AKUNA AMBAE HAWEZI KUONGWA KAMA WAMEFANIKIWA KUMUONGA Dr Willy Mutunga

Kenya ni Kilio kila kona

    Kila Kona ya KENYA NI KILIO CHA KUDHULUMIWA

Kama maombi si sehemu ya maisha yetu ni ukweli kabisa kuna hatari ya kuishi maisha ya unafiki

      Kama maombi si sehemu ya maisha yetu ni ukweli kabisa kuna hatari ya kuishi maisha ya unafiki.

Na hii ndio sababu kuu ya sisi binadamu kuanguka katika majaribu ya kupewa pesa na kukubali kumupokonya mshindi ushindi nakumupa asiestahili kupewa

Na walio anguka kwa uwo mtahani ni Issack Hassan na Willy Mutunga

Mtenda dhambi ndie anaonekana mwenye akili na mtenda haki ndie anaonekana mshamba

     Niwazi kua mtenda haki ndio uwonekana na wengi kua mshamba mtu asie kua na akili hali hii iko kwetu apa kenya,mtu kuingia kwa cheo kazi nikuiba nakuchukua na kupora

Raila ni Rais asie na kifani,nakuna mambo tutake tusitake lazima yaje kutimia kama hili la Raila Amollo kua Rais

   Wakenya kuna mambo hayazuiliki kama hili la Raila Amollo Odinga ni Rais teyari

WADILIFU NDIO WANAO MWANGIWA MATOPE

      Niwazi kua watu wadilifu ndio wanaopakwa matope

Kwanini Afrika ni masikini?

   Afrika ina Dhahabu,Almasi,Chuma,Makaa ya mawe,Mafuta na hii nikutokana na mikataba ya kisiri kila kitu kikiwekwa wazi Afrika yote haitakua masikini.

    Lakini kukiwekwa watu kama Amos Kimunya basi tutawekewa mikataba isio kuwa na maslai kwa Taifa na sikimunya peke yake nikila mwafrika aheshimu  RASILIMALI ZA TAIFA NA ASIPEWE 10% Kuuza Nchi

Katika Jammi watu waovu ndio wanaosifiwa

 Nikawaida kua watu waovu ndio uwa wanao sifiwa na sio wale wema apa Duniani kwakua uwa wamepewa nguvu ni shetani

Saturday 30 March 2013

IF YOU ARE RIGHT SPEAK

  IF YOU ARE RIGHT AND YOU KNOW IT, SPEAK YOUR MIND.EVEN IF YOU ARE A MINORITY OF ONE.

  THE TRUTH IS STILL THJE TRUTH "GATHI"

Matumaini yetu ni kuleta mapya ya kheri kwa vizazi vijavyo

 Yetu ni kuleta matumaini mapya kwa vizazi vijavyo tuseme Tumechoshwa ni

UBINAFSI

UJINGA

UMASIKINI

NA MARADHI

TUWEKEZE NGU ZETU KWA MABADILIKO YA KWELI

KABLA MDA WAKO WA KUISHI APA DUNIANI HAUJAISHA HAKIKISHA UMEITENDEA JAPO JAMBO MOJA LAKUKUMBUKWA

Kabla mda wako wa kuishi apa duniani haujaisha hakikisha umeitendea japo jambo moja lakukumbukwa nalo ulilolitendea nchi yako.

     Yaweza kua si nchi ata mtu ukimusaidia ni jambo ambalo utakumbukwa nalo,sivizuri kufa na ukasifiwa  na baada ya kuzikwa ukasaulika.

    Kaa japo dakika moja na utafakari wangapi mashujaa tunao wakumbuka  na walikufa miaka zaidi ya 500 iliopita.Nivizuri kuwacha historia njema,isiwe utakumbukwa kama anavyo kumbukwa Mzee Jomo Kenyatta kuwa uwa J.M Kariuki,Tom Mboya na Pio Gama Pinto

TUSISIKIZE PROPAGANDA SISI TUNA MUJUA SANA Raila AKUNA WAKUTUDANGANYA ATA MUMUPAKE MATOPE VIPI

   Wakenya tusisikize propaganda kuwa Raila si kiongozi wa kutosha kuendesha nchi,Tumevumilia sana Tumechokana sasa tunataka kusonga mbele na tusirudi nyuma kamwe

  Raila Amollo Odinga lazima tumusaidie kwa hali na mali,tusimuache tumushike mukono aliko tutoa ni mbali

Raila si mtu wakuweka watu mufukoni

     Raila si mtu waku weka watu mifukoni,na hatua zozote za kuzima vuguvugu la mabadiliko hazitowezekana.

   Tutaendelea kuwaunganisha Wakenya wote bila kujal propaganda zinazo fanywa na Wakikuyu na washirika wao dhidi ya Raila Amollo Odinga.

     ili kuleta mabadiliko ya klweli KENYA

Wana nchi wasinyimwe haki yao kwa kushindwa kusimamia kanuni

Wananchi wasinyimwe haki yao kwa kushindwa kusimamia kanuni,Serikali ndio ina majukumu ya kusimamia sheria lakini hao hao serikali wana fanya fujo ndio wapate sababu ya kupiga na kutupia watu vitoa machozi.

   Polisi ni jukumu lao kuona mandamano ni ya amani,David Kimaiyo awache kutishia watu,hio ni kazi yake kuakikisha mandamano yatakua ya Amani,sio kuzuiya watu kufanya maandamano

Sifa kuu ya MUNGU ni UTAKATIFU

 Sifa kuu ya MUNGU ni Utakatifu,Hivyo Mungu anataka watu wawe Watakatifu

TUNAO ISHI SASA INABIDI TUJITOLEE TUUMIE NA TUJITOE MUHANGA KWA MANUFAA YA VIZAZI VIJANZO

  Watu wa sasa inabidi tuumie na tujitoe kukemea vitendo vibaya vya Serikali ili wajao wanufaike

Tukemee vitendo vibaya

     Wakenya nilazima tukemee vitendo vibaya vinavyo fanywa ni Wakikuyu na washirika wao,Tumeumizwa sana na imefika wakati wakwakemea kwa nguvu zote/

    Wakikuyu ni wakenya lakini tabia zao za kuongea vizuri na kuuwa kuiba bila ushahidi inabidi tusiwaonee haya wala aibu kwakua watatumaliza

Uhuru wa kutoa nakupata habari ni ya kila mkenya

     Tunawataka wakenya wote wajue kua kupata habari na na kutoa habari ni hali yetu sote wakenya ivyo basi
   
Serikali imekua ikizuia vyombo vya habari kutoa habari kwa kisingizio cha kuvunja amani

    Kama itazuiya wana nchi kupata habari iloyo rasmi tutatafuta habari zisizo rasimi,

Tusidanganyane kua eti wakenya hawajui kua vita ni mbaya na hawawezi kupigana lakini wadipo pata habari rasmi zitakuja habari zisizo za ukweli zikichanganikana na zaukweli ivyo mutakua nyinyi wenyewe ndio mumejiweka kwa sehemu hio mbaya.

   Kama kweli nyinyi siwatu wabaya kwanini hamutaki habari ifike kwawana nchi?

   Wana habari nikama hamujui haki zenu,nihaki yenu kutoa na kutafuta habari misitishwe ubaya ni kusema fulani apigwe lakini ukweli enezeni hizi juhudi ni zetu sote kama ujapewa pesa kupindisha ukweli ulivyo

Raila tu ndio mtu Mafisadi wameshindwa niye

    Chuki nyingi ya mafisadi kwa Raila nikua yeye hana rafiki na mnyang'anyi ukiwa mtu na kashfa basi hawezi kapiga simu uwachiliwe lakini ukionewa kama vile Charity Ngilu alivyo onewa basi yeye usimama nawewe mpaka mwisho

SIO ETI NAWACHUKIA WAKIKUYU APANA SIWACHUKII ATA MIMI NYANYA WANGU NI MKIKUYU NATAKA MUWAJUE ILI TUOKOE TAIFA HILI LETU

   MIMI NYANYA WANGU NI MKIKUYU NA SIO ETI NAWACHUKIA WAKIKUYU LA HASHA NINACHOCHUKIA NI TABIA YAO.

    MKIKUYU ANA TABIA YA KUIBA ILI AFUNGUE CHAKE POPOTE PALE SI WAMINIFU NA UBAYA WAO UAKIKISHA HAMUNA USHAHIDI WAKIIBA AU WAKIUWA.


        ATA UMUPE MSHAHARA ULIOJE MKIKUYU ATAKUIBIA TU,NDIO MAANA HAMINI NA KUANDIKWA.

       ZABUNI ZA SERIKALI UPEANA WAO NA MARAKI ZAO TU,ATA LEO JARIBU KUMUA MBIA MKIKUYU AKUTAFUTIE MFANYAKAZI NAUMWAMBIE AKULETEE KABILA FULANI BASI ATAKIKISHA AMELETA MTU AMBAE AWEZA MUTUMIA KUKUIBIA AU KUKUANGAMIZA

MKIKUYU AKIJA MAHALI ULETA NA MWENZAKE UKIJA KUSHUTUKIA WASHAKUTOA KWA MKURUGENZI NA KUA WAO ILI WAIBE

     MKIKUYU AKIANDIKWA MAHALI FIKIRA ZAKE UWA AIBE AFUNGUE YAKE,NA NDIO MAANA MKIKUYU UTAMUPATA AKIFANYA KAZI AMBAYO AIMULETEI MAPATO YA KANDO,

     MARANYINGI YEYE AKIJA KWA KAMPUNI ATA KAMA NI MUFAGIAJI ATAKIKISHA AMELETA MWENGINE NA MWENGINE MPAKA WAKIKISHE WAMEKUNG'OA KWA KAZI,

USIONE KUA UYU AWEZI KUNITOA KAZINI KWAKUA AJASOMA MKIKUYU ATATAFUTA MKIKUYU MWENZAKE AMBAE AMESOMA KUKULIKO ILI UNG'OLEWE APO AJE MTU WAKE

MKIKUYU USIMUONYESHE BIASHARA YAKO AU NINI KIMEKUINUA

     Dunia nawa onya ukiwa na mukikuyu au ukiwa na rafiki ya mukikuyu usimuelezi siri ya mafanikio yako kabisa.

     Hii ni kufuatia wao si watu,atakua mzuri sana kwa ili ajue nini siri ya mafanikio yako,Na hilo si jambo baya lakini ubaya,baadae ata kumaliza kwa kuku uwa ili abaki na iyo biashara au afungue yake kama hio na akikishe ametumana uliwe bila ushahidi.

     Wao kwao kitu wana chunga sana ni ushahidi,watu wengi wamepoteza mali na maisha kwa vifo vya kushangaza.

     Nawalio waowa basi wao ufa bila kujua ama kwakuingiliwa ni wakora au kwa kupewa sumu.


Hawa ndio watu wanao waumiza wakenya

 Wakenya ni watu atupendi fujo lakini pia atupendi kufanywa wajinga ni watu fulani ambao utembeza maslai yao mbele kuliko maslai ya Taifa

Ahmednasir Tulifikiri ni mtu mwenye utu kumbe ovyo kabisa

Uyu ni wakili wa IEBC Ahmednasir,sisi wakenya tulimuthamini na kumuamini na imani yetu ikatupelekea tukamupa jukumu la kuchagua majaji kumbe umuthaniae ndie sie,Amegeuka kua ni miongoni wa mutu wakutumiwa

Raila Amollo Odinga nikipenzi cha wengi

Kenya watu wengi wanamupenda Raila Amollo lakini,Wakikuyu hawataki awe Rais kabisa,Kusema kweli Raila Ametutoa mbali na amesumbuliwa sana ni Wakikuyu na baadhi ya watu

Thursday 28 March 2013

Imefika wakati wa kutokubali mtu adharauliwe

     Nisi wakenya tutakao ikomboa nchi hii kutoka kwa mikono ya wachache,Watu ambao wanaungana ili tu kufanikisha yao

Ebu angalieni vile IEBC Wanavyo patiwa mapendeleo

        Ubaya wetu wakenya ni kuto fanya utafiti na kuangalia mambo kiunda zaidi kuliko yalivyo

Kuna wenye nchi na wananchi

Yatupasa kujua kua Kenya si ya watu fulani tu Kenya ni yetu sote

Mtu kama uyu atufai Kenya kabisa

Inaeleweka vyema kua kuna watu si wazalendo kabisa.Nafikiri sasa tunawajua vizuri nani ambao walio fasidi hii nchi.
   Abdulai niwazi sio vile tulitarajia,Na muogopena sana mtu yule aweza fanya hii Kenya iwe Somali.

Apa kwa hii kesi ni wazi wakili wa IEBC Wana baraka ya Rais Kibaki,ata oneni wanavyo ongea kwa madharau na kejeli

Monday 25 March 2013

Apa atutaki kingine tunacho taka ni Raila kupewa ushindi

     Kenya sote tunajua kua Raila alishinda 2007 na 2013 hawa watu hawataki kingine ni mandamano ya amani kwote Kenya

Kenya si yakufananishwa ni Nigeria

     Niwazi  mikakati ya kunyamazisha ukweli uko wazi apa Kenya,Navile wanadharau na kukenjeli Wakili wa Raila hii ni ushahidi tosha kua,Wakili wa IEBC wana nguvu za kiserikali

Kenya Presidential Petitions status conference

     Nivizuri kujua kua kuna nguvu za chini ambanzo zinaelekezwa kumuangamiza Raila kwa uchaguzi huu,Kenya ni ajabu kua tunatolea mfano nchi ambanzo zinajulikana kua ni fisadi.

   Nigeria ni nchi ilio bobea kwa ufisadi (corrupt state)bila aibu wala haya  wakili wa IEBC Ngatia,Ahmed Nasir na Nadi

Uhuru wa kutoa nakupata habari ni ya kila mkenya

     Tunawataka wakenya wote wajue kua kupata habari na na kutoa habari ni hali yetu sote wakenya ivyo basi

Friday 22 March 2013

SERIKALI IKAE IJUE IWAPO WATATUZUIA KUPATA HABARI RASMI BASI TUTAPATA ZISIZO RASIM

    Niwazi pamoja na baadhi ya wanahabari kupewa pesa kuficha ukweli serikali imekua ikitishia vyombo vya habari ili zisitoe ukweli kama ulivyo.

      Sasa basi tusilaumiane tukipeana habari zisinzo kua rasmi,kwakua ni haki yetu wakenya kupata na kutoa habari

Tufike mahali tukubali tuliko toka tunako elekea ni kugumu

         Wakenya lazima tukubali tuliko tolewa ni Raila Amollo tufike mahali tuseme ukweli kama ulivyo bila ya kuongeza wala kupunguza

        Ukweli nikua Raila ni waya hana esa kama wanao mupinga lakini sisi raiya,umma twaweza kumuokoa iwapo tutaeleza ukweli

        Nasio kwa facebook peke yake ni kila mahali walio wengi ni masikini ivyo amukeni namujue kua masikini usaidiwa na nguvu zake na tajiri na pesa zake.

Thursday 21 March 2013

Fundamental Rights and freedoms that may not be limited

     Following rights shall not be limited in Kenya but now this evil group of people are limiting our freedom and those freedom are

   1;freedom of torture and cruel,inhuman or degrading treatment or punishment;Apa kenya hali hii ni yakukataliwa ni kila mkenya bila yakujali kabila lake apa tunasema uswa kwa kila mkenya.

    2;Freedom from slavery or servitude,Utumwa umepingwa ni katiba yetu apa kenya lakini wengi wetu  tunatumiwa,kusemea na kuendeleza faida ya wachache tu,ndio utapata Makau,Mwasimba,Ole,Arap,Ouma au kabila lengine lolote limekua likitumiwa kuangamiza makabila yengine tembea sehemu za kenya utaona tofauti kubwa sana baina ya masikini na tajiri.
    Namasikini wengi ni makabila yale mengine ndio % kubwa kuliko kabila moja kuu.

3;The right to a fair trialJe apa Kenya Raila Amollo OGINGA aMEKUA AKITHULUMIWA KILA WAKATI NA ATA SASA TUKO KARIBU KUSHUHUDIA UONEVU WA MAMUZI HII KESI YA CORD
5The right to an order of habeas corps

Responsibilities of leadership/Majukumu ya uwongozi

       Guiding principles of leadership and integrity iclude

1;Competence,Integrity,,Suitability or election in free and fair elections, 2;Objectivity and impartiality in decision making and in ensuring that decisions are not influenced by nepotism,favouritism other improper motives or corrupt practices

PIGENI PICHA NAKUZITUMA KWA FACEBOOK

    WAKENYA JIPIGENI PICHA NA MUZIWEKE KWENYE FACEBOOK MUSIKUBALI KUFA KIMYA KIMYA HUU NIU UBADHIRIFU MUKUBWA SANA SIO SOTE WAKENYA MAZUZU TUKATAE HALI HII.
       ILA USIENEZE UWONGO CHOCHOTE KILE KITATUWEZESHA KUPATA HAKI WEKENI KWA FACEBOOK,NA UKIONA MTU YEYOTE ANAEONGELEA VIBAYA CORD MU BLOCK JUST BLOCK HIM/HER ATA USIMUJIBU

Responsibilities of leadership

         Authority assigned to a State officer

a)is a public trust to be exercised in a manner that

  1;is consistent with the purposes and objects of this constitution

 2;demonstrates respect for the people

 3brings honour to the nation and diginity to the office and 4;promotes public confidence in the integrity of the office and 5;responsibility to serve the people rather than the power to rule them.
   
Je ni haki hii ya mkuu wapolisi kutumia cheo chake kutunyamazisha,kazi yake ni kutulinda na sio kutunyi haki ya kukusanyika au kuandamana

LEADERSHIP AND INTEGRITY

       Hawa watu walitumia pesa kuvuruga katiba tuliopitisha sio hii sasa na tukicheza itamalizwa kabisa,simunakumbuka katiba

    CHAPTER SIX,Ilivyo vurugwa ili kuwafaidi mafisadi apa kenya,Wakati nisasa kuweka tofautiu zetu chini ili tuokoe hili taifa
  Watu kama Issack Hassan

  Ahmed Nasir na Abdukadir  si watu hawa tumewajua vizuri sana ukitaka kujua mtu si mwema muangalie je ni mtu wakusimama kwa ukweli au nimutu waku angalia maslai?

      Ahmed Nasir ndio alie kua aki "vetting" mahakimu na uyu uyu na anajua kua IEBC aikuendesha uchaguzi kwanjia ya haki na usawa yeye anakua kifua mbele kutetea hio IEBC

    Atakama ni wakili pesa zengine nizalaana

Wakenya tuliofinyiliwa ni wengi kuliko wanao tufinyilia

       Kuna masikini kwa kila kabila Mkikuyu,Mkamba,Mjalio,Mkalenjin,Mtaita,Mdigo,Mgiriama,Mkisii,Mubaluya kwa ufupi makabila yote 42 apa kenya tumefinyiliwa sana tangu 1963 mpaka leo.


        Ivyo tunganishe nguvu kumutetea Raila Amollo Odinga,Yeye nimkenya na mkimulinganisha na mupizani wake Uhuru Kenyatta yeye ndio anafaa Uhuru ni ananunua watu.

    2;Hakuna mkikuyu aweza tenda haki jaribu utizame nyuma uwone kazi ziki tokea 42 utapata wakikuyu 30 na 12 marafiki wao, Apa namanisha mtu yule wanamuona kua uwasikiza ivyo wakenya hii ninafasi yakipekee kwetu wakenya kujikomboa.

       MSIFANYE FUJO NA MSIWASIKIZE AWA WANAUTUMIKA KUSEMA AU KUSEMEA MAFISADI KENYA TUNAJUANA WENGI WETU WAKIPEWA PESA USAHAU UMOJA

 HAKUNA KITU MTU AWEZI FANYA KWA PESA,TUSIKUBALI KUTAWALIWA NI PESA NAOMBA TUMUPE Raila Amollo OGINGA NAFASI MIAKA 5 SINYINGI KAMA TULIWAPA MIAKA 50 MAFISADI HII TANO SICHOCHOTE

What God can do no Man can do

        In Kenya 4 march 2013 we have noticed lots of irregularity (well hiden observer could not pick anything)

     The way IEBC was handling the BVR system.

They said that they are going to look into the BVR voter Registration database after registration were comleted and clean it from double registration..

   For sure a database management does not allow for duplicate entries in any column that has been assigned a premary key,preminary key is always assigned to a column where the information to be stored is not the same.A good example is that each voter had a unique National Identity card number.if the developers of the BVR database put this into consideration then the BVR datamanagement system should have been able to disallow double entry if all registerd voters used their National Identity cards to register and vote.

        So it was illogical for the IEBC to again tamper with the list of registerd voters passport.

What does this insinuate?

   It means someone will keep running to the toilet under tension as we begin to open KENYA EVIL

KENYA ELECTION NEED U.N AND NOT ANY ONE FROM AFRICA AND ASIA FOR 95% OF US ARE CORRUPT

Nivizuri tukawekana wazi Wakenya

       Nivizuri wakenya kuwekana wazi,Kenya ni nchi inaoendeshwa ni kundi ndogo moja ambao wameharibu mamboenya sana ata imefikia kiasi yakujutia Ayati Mzee Jomo Kenyatta kua Rais wa kwanza apa Kenya.

        Niwazi kua hakuwa na nia njema na wakenya Rais wa kwanza nchi hii aliiba na kupora kila kitu,Sipitali hazitoi huduma kwa raiya,

        Siku kabla 1963 kulikua na mambo mengi mazuri huduma kama mabasi ya Kenya Bus Service marufu kama KBS zilitusaidia sana,lakini leo hili sherika limemilikiwa ni watu fulani tu.

   

Hamujambo?Nimatumaini yangu nyote muzima

    Wakenya nataka kuwajulisha yakua nimekua katika hali ngumu sana kusiana na hii blog yetu ya ukweli wamejaribu sana kuzima juhudi zangu hizi lakini MUNGU NI MWEMA.

     NATAKA KUWAJULISHA YAKUA NITAZIDI KUWAA UKWELI ATAKAMA IKIBIDI KUPOTEZA UHAI WANGU.

      NATAKA MUJUE YAKUA NINAYO YANDIKA HAPA NI UKWELI KAMA ULIVYO.

NAWAOMBA MUNIOMBEE ATAKAMA WATANINYAMAZISHA NIWE NIMEWAPA UKWELI KAMA ULIVYO

Sunday 3 March 2013

KUNA WATU KENYA SIWAZIMA AKILI ZAO ZINATAKA ZIPIMWE

     Watu wengine hawatabiriki uku hawako nakule hawako yaani kutokua na musimamo nijambo baya sana.
   Nawengine maneo wanayo tumia nikama hawaelewi sisi niwatu na akili zetu na tumeshuhudia mengi mazuru alio yatenda Raila.

    Mtu akifanya vizuri unamutunuku ivyo wakenya twataka mpaka afe ndio tumupe sifa tele tele,la asha mulipeni akiwa bado hai na mumupe

     URAIS KESHO

Mungu atamulipia kwa yeyote mwenye kinyongo na Raila Amollo

     Mungu ulipia mtu ambae  amejitolea kwa umma na muangalieni Uhuru na Ruto mwisho wao ila nawaonya wasilie na Raila kwakua mwiba wa kujichoma uwambiwi pole.

      Kila mchuma janga ula na wakwao lakini ili limekula kwako wewe Ruto tunakutizama na inzo lugah zako.

    Ruka ruka kama mwewe uku na kule wanawadanganya lakini mtakiona,mtu mwenye kumujua MUNGU ATASEMA UKWELI NA UKWELI NI KUA RAILA ANAFAA KUWA RAIS

Plan ahead

     Lets plan ahead and think ahead kenyans msitake turudishwe tuliko toka timu ya Uhuru ufanya mambo mengi kichinichini.

     Watu wengi walio na Raila anawawinda na kutoa ofa zakutia tamaa hili mujue ili muelewe yeye Uhuru alidhani akiwapata wote walio na Raila amefaulu lakini MUNGU NI MUKUBWA.

BADO RAILA ANADUNDA

Mtoto umuleavyo ndivyo akuwavyo

          Apa twamujua nani alimulea nani akuna mtu utaka kua na Baba muhuni na lugah za kikora ivyo basi Uhuru na Ruto ukiwaweka kwa ratili za madili basi Raila na Kalonzo wako vizuri kuwaliko.

        Kenya atutaki Baba muhuni au mkora tunataka tulewe vizuri chagua Raila

Kulindana kwa maslai ndio kwa kundi la Uhuru

      Ebu wapige darubini wote walio na Uhuru wote niwatu wakujali maslai kwakua siku walipo hama vyama vyao wangejiuzulu viti vyao lakini hawakujiuzulu hii nikutokana na kujali "pay"

Wakenya msilale 5a.m Muwe inje kuona kila kitu kiko sawa

Wakenya tusilale tukilala tutalala milele kenya hatutaikomboa kutoka kwa mikononi mwa wachache ambao wametuangaisha tangu 1963.

Kumbukeni Jomo Kenyatta alivyo jilimbikizia mali na kuwasahau masikini familia za wengi ziko hivi kutokana na alivyo anza hivi hivi maneno mazuri aliyatoa lakini hakuna jema alilolifanya.

Sikiza hutuba zake aliongelea akutukakua ukibila

Je ukabila upo KENYA

Sote tumeshuhudia miaka 50 ya dhuluma uporaji wizi kushoto kulia juu chini kila mahali imekua mkenya akingia anafikiria atakavyo jitajirisha

Hali hii tutaepukana nayo tukimuchagua Rais mwenye utu kesho

Hakuna marefu yasio kua na ncha

   Kila kitu kina mwisho wake wakenya tumuombee Mungu sana Raila Amezungukwa ni maadui kila sehemu.

  Natujue hii yote ni kwa wakenya kwakua yeye nimtu wakutetea masikini na hali hii mafisadi hawapendi kabisa.

   Waseme nikwanini hawataki Raila awe RAIS

HUU NI UKABILA ULIO WAZI

Saturday 2 March 2013

Tuna thana ya umimi

        Chagua mtu yule hana umimi tuwe na msingi wa usawa Kenya mzima,

Kenya wapo viongozi ambao hawana ubinafsi lakini wengi 98% ni ubinafsi tu na maslai yao na rafiki zao ivyo nawasii wakenya kupiga kura kwa umakini mkubwa sana

TNA NI DAMU TUPU

Hii inashiria mutakiona Uhuru akiwa Rais

Nivyema kujua kua mtoto ujifunza kwa mzee wake na tukirudi nyuma utagundua kua nimengi Uhuru Kenyatta alishuhudia kubwa kabisa ni.

Ile ya Moi alivyo kua akipigwa kama mtoto

Mkikuyu awenza omba kura popote kenya na akapewa lakini swala hilo ni lingumu sana kwa kabila lengine kupata kiti chochote Kikuyuni

     Niukweli usio fichika kua akuna mtu kutoka kabila lengine lolote aweza chaguliwa Nyeri,Kiambu, au Katundu uwezi pata kiti icho wakenya kuweni macho namujue sana.

    Dawa ya ubaya ni kumuchagua Raila Amollo Odinga

Size 8 ANA VAKO NYI SANA

      Sote twajua wenzetu hawa uwa wanaongea vizuri sana jukwaani lakini ayatoki moyoni ivyo mkenya jua mfa maji awachi kushika kila kitu.

     Mafisadi watatumia kila njia kupumbaza,

JOMO KENYATTA NDIO AMETUFIKISHA KENYA KWA HII SHIDA TULIO NAE MSIKUBALI NG'O KUMUPA Uhuru Urais kwavyovyote vile

KATAENI WAKENYA

Friday 1 March 2013

ID NI MUHIMU

Sekta hii ya vitambulisho ni muhimu sana na mtu lazma apewe kitambulisho bila ya usumbufu waina yeyote.

Minamulaumu sana Otieno Kanjwang' yeye kuzembea kwa kutoa vitambulisho mpaka watu wame fungiwa nje kwa kukosa kua na vitambulisho.

Nimuhimu kila mmoja ashirikishwe kwamaslai ya Taifa sote twajuana na akuna mtu amujui mwenza ke aliko zaliwa

Ivyo basi tujitahidi kuwapa vitambulisho wote ambao hawakupata

Thursday 28 February 2013

Other place to read

Am not good in english but for you have asked where to read same check facebook by name Exposing kenya evil

follow twitter

2;check facebook of Name; M Rajab Ndothya and his Twitter same name,i will see other bye

do excuse my poor english

Malengo

Lazma tujiwekee malengo makubwa na kuakikisha yale muhimu yana timizwa kenya tunasifika kwa

kujali maslai binafsi

Umasikini tukatae

Akuna binadamu bora kuliko mwengine ifike mahali tuchukulie watoto wote kua sawa,Sijambo jema

kuwacha watoto kulala njaa kuamuka njaa na kushindia maji.

hali hii tukatae kwakuweka Rais binadamu na sio katili ambae angalii masikini.

kuna vitu muhimu kwa binadamu

1;Afya
2;Chakula
3;Malazi

Akuna mtu Kenya,Alale njaa

Kila mkenya lazima tuseme tumechoka na umasikini

Lazima tufike mahali sote kwa pamoja tuseme jamani mkenya  au binadamu yeyote kulala akipiga

miayo ajala apana

Kupanga ni kuchagua

Kuna mambo ambayo Kenya lazima yapawe kipao mbele ili kuleta ufanisi miezi 3 ijayo papo kwa papo

wakenya tumechoshwa nishida

Kuna mambo mengine ayataki pesa kuyatekeleza mfano

watu kupandishiwa nauli ovyo ovyo kuna mtu ametupwa kutoka kwa matatu kwa kukosa shiling 20ksh na

akafa juzi tu na akuna yeyote alio chukulia atua na sio Kibaki ajui anajua lakini mtu akivunja sheria kwa asie kua rafiki au mtu wakaribu wake ajali

Hii ndio inaleta watu kuuwana ovyo

atawewe ukifanyiwa makosa nakuona sheria aijachukulia lazma uchukue sheria mkononi

TANA DELTA NA KWENGINE KWOTE NI SHERIA KUTOFUATWA VILIVYO NDIO WATU WANAUWANA OVYO INGEKUA OTHAYA NDIO TANA BASI HII YOTE ANGETOKEYA ILA

KWAKUA WATU WA TANA SIWATU NDIO MAANA WAMEWACHWA IVYO

Tatizo lieleweke

Tatizo lieleweke Kenya mumesikia kua

Thuita Mwangi PS

"FOREIGN AFFAIRS PS ARRESTED OVER JAPAN EMBASSY SCANDAL"

MUNGU ANAWAPENDA SANA WAKENYA APA MUNAONYESHWA KUA UHURU KENYATTA NDIO ANAE ONGOZA HII SERIKALI SIO MWAI KIBAKI WALA RAILA AMOLLO

UBAYA AMUTAKI KUONA MDAHALO ULIKUA 25 FEB 2013 RAILA AKATAJA KUA MGOMBEA MWENZA "RANING MATE" WA UHURU ANA KESI YA SHAMBA APO UHURU LEO 27 FEB 2013 AMETOA AMRI KESI IFUFULIWE APA ANAE TAKIKANA NI

MOSES WETANGULA

Sisi ndio tutaleta MAENDELEO KENYA

Usifikiri kua kuna mtu mwengine ataleta maendeleo Kenya ni sisi wenyewe ndio tutaleta maendelea kwa

1;Kua wazi
2;Wajibishanaji popote pale ukiona mtu anakosa unamambia apo kwa hapo bila ya kutazama na kusea siusiki.
3;Kuwacha kusema uwongo sema ukweli na ukweli hauwezi kua matamushi ya chuki "hate speech"au ukweli hauwezi ata siku moja ukavunja amani "peace"
mnasikia watu wakisema "peace kenya"mwajua nini maana ya kusema "peace"hii ni kutaka kuficha ubaya ili wazidi kupotosha ili wachaguliwe tena ukiwa unajua kitu sema usiogope,kimya kyetu kimetu sababishia miaka 50 tumebaki kua atusongi mbele ila usiseme uwongo sema ukweli atakama uchungu

4;Tuhubiri ukweli

5;Tuzingatie mila na tamaduni zetu ambapo mtoto alikuwa wajamii zima na ukimuona akifanya lolote baya mkanye au mumwambie mzazi wake na wazazi wengine kwakua ulea watoto wao kama mayai muwasute musiwawache wawaharibie madili watoto wengine

jitengezeeni kwa mitaa yenu umoja wakuwakanya na kuwasema watoto wabaya ili warudi kwa madili yetu yakiafrika

akuna mzazi apenda mtoto wake ajekua jambazi sugu au aje kupigwa risasi,jamii iungane nakusaidiana ata kwa malezi,ukiona mtoto wa mwezio hana nguo mpe za mtoto wako au mwambie mtoto wako amupe

Taifa hili litajengwa na sisi wakenya

Kenya ni sisi tutajenga tukiwacha ubinafsi na ukabila sivibaya mtu kuweka sehemu ata ndugu yake lakini awe yeye ndio alie juu kwa sifa zinazo itajika zote.
1Awe muadilifu
2Muaminifu
3Mtenda haki
4Mkweli
5Asie na tamaa
6Muwazi
7Mumini(nakua mumini waeza kua ata kanisani au msikitini huwendi lakini vitendo vyako vyasema kweli wewe ni mumini)Sio mtu kila siku uko kanisani au msikitini na
WALA RUSHWA,MWIZI,MNYANG'ANYI MPINDISHA UKWELI WEWE UTUFAI KABISA

Pimwa UTENDAJI

Wakenya yatupasa tuwe makini sana na kwangazi zote tumuweke mutu kwakumupima utendaji wake

wakazi na sio awe anatafuta mshahara mkubwa,

Tuchague mtu amae yuko teyari kufanya iyo kazi ata kwabure na nieleweke apa sio bure kabisa

apa na manisha apewe huduma muhimu kama
1;Chakula
2;Mavazi
3;Nyumba
4;Afya
5;Elimu kwa familia yake
6;Usafiri
7;Mavazi
Yaani tuchague mtu ambae akiambiwa atahudumiwa hizi vitu vyote bila ya kupewa shilingi 1ksh awe teyari kutumikia Kenya sio mtu anakimbilia mshahara tu na kutojali wananchi,
Kenya kuna watu wengi wadilifu na wana uchungu kuona masikini kila siku wanazidi kua

Ukabila hutoisha KENYA

Nasema haya baada yakufanya utafiti wangu kuhusu hali Kenya,1963 Rais wakwanza mzee Jomo

Kenyatta,Aliongea vizuri sana kuhusu ukabila.

Waweza pata hotuba yake kwa Facebook au Twitter jina(name) M Rajab Ndothya.

Tafanyali jionee hali ilivyo kua siku hizo na leo hazina tofauti Uhuru Kenyatta ni hodari wakuongea sana jukwaani laki ukweli ni kwamba ukabila umepandika sana apa Kenya kabila kwa makabila yote ukabila na uwaminifu haupo kabisa.

Watu upeana vyeo kwakujuana tu,

C.E.O Wa vijana ni mfano hai Susan Mongera (Youth Agenda C.E.O)
KENYA KUNA WALIO MUZIDI KWA MARIFA NA KWAMASOMO,

LAKINI KAPEYA ICHO CHEO KWAKUJUANA TU

NANIMETOA KAMA MFANO.

SIO UKABILA TU NI SOTE KENYA ATUNA UAMINIFU.

SOTE JAPO WAKIKUYU NDIO WAZI WAZI NA SIVIBAYA KUMUPA KABILA LAKO CHEO LAKINI MPE MUTU KWA SIFA ZAKE ZA UADILIFU NA MWENYE KUJITUMA

Tuesday 22 January 2013

Wakenya popote ulipo jua yakua hali ni mbaya zaidi ya mnavyoiona,Kenya tumeumizwa kwa muda mrefu sana bila yakua na uvumbuzi wa kweli
Niwto wangu tuwe makini zaidi kuchagua Rais mwenye utu na binadam