Saturday 17 March 2012

Vyombo vya Habari apa Kenya

Vyombo vya habari nikiwa na maana ya
Radio
TV,Runinga
Magazeti
Aslimia 98% nivya mafisadi na wanyakuzi ambapo wana pinga mabadiliko yanayo taka kuja kwa hali na mali,
Siwezi nikataja zote lakini nitatoa mfano
Wa kimoja Runinga ya K24 na Gazeti lake la "The People" mbali na Radio kwakua ni yakiluga "Kameme"
Elimisheni jamii ielewe kua hawa watu hawataki mabadiliko apa KENYA,
Na ndio maana wana shambulia kimpango kaa chini mkenya na utafakari(ufikirie) 

No comments:

Post a Comment