Thursday 29 March 2012

Michango ya upendeleo kwa jamii 1

Ina itajika jitihada zetu sote kwa pamoja na imefika wakati yakutonyamazilia maovu yanayo endeshwa ni jamii moja bila aibu wala haya.

Kenya kwote kuna watu ambao wanatakiwa kusaidiwa sio swala la kusaidia watu wakutoka mkoa wakati tu hali hii niya kukemewa kwa nguvu zote.

Ivi wenzetu hawa wanatuona tukiwa mazuzu au sanamu?

Micro finance nikwakila mkenya sio ukiwa we una asili ya kutoka mkoa wakati unasaidiwa au uwe rafiki yao ndio usaidiwe kwamikopo iyo ndogo ndogo.

Tusidanganyane wakenya hakuna jamii bora kuliko nyengine.

Jua kua popote ulipo utaulizwa ni MUNGU Ukifa ulifanya nini ulipo ona uovu ukitendeka,Nausifikiri kua utaishi milele sote tutakufa.

Watu wangapi unawajua ambao leo wamelala makaburini?

Wewe kuona kuwa ausiki kwakuwa unacho au una pesa jua yakuwa utaulizwa.

Mtu ambae hato ulizwa ni yule alio fariki akiwa aja bale yaani kuvunja ungo kwa jinsia ya kike (month period)hedhi

Mwengine ambae hato ulizwa ni kipofu,kiziwi bubu,ukiwa na hali hii Mungu hato kuuliza chochote lakini tulio baki tuta ulizwa ulipo ona ufisadi wizi au dhulmaikitendeka mbona ukuchukua hatua?

Na mbinguni hakuna rushwa wala wakili na nafsi italipwa kulingana na vitendo vyake.
14,000,000 ambazo Mutotho anaziongelea kua watu wake wapewe ni serikali naiwe kwa wakenya wote kwote Kenya nasio jamii moja yaani tangu 1964 mupaka leo hawashibi?

Najib Balala MP Mvita

Wakenya si watoto wakutojua mtu na vituko vyake nani wazi bila ya mapendeleo kua wengi waviongozi apa Kenya ni mshahara tu ndio ujali na maslai binafsi sio uzalendo.

Kwanza nikushukuru sana kwakazi nzuri ulio ifanya katika wizara ya utalii umejaribu kuinua sekta hio vilivyo.

Pili nikulaumu kwa matamushi yako ya leo kua eti waislamu tunaonewa haya matamushi hayana musingi nayamefanya nikutoe alama 25% Kenya aingilii uhuru wakuabudu,nanivitu viwili tofauti serikali na dini.

Tatu kusema eti chama ulichokuwa hakina demokrasia nikitu chaku chekesha vyama vyote uwa na katiba zao zakufuata natumeshuhudia mara nyingi ukizivunja.Ivi leo mimi ni vunje sheria ya popote pale nikichukuliwa hatuwa nitakua nimevunjiwa haki yangu?

Kenya imefika wakati wakuambiana ukweli mutupu ukikosa una ambiwa hakuna alio juu ya sheria.

Na huu wako ni unafiki kwakua ukiwa katika chama fuata sheria za chama au jiuzulu na uingie na tikiti ya chama kingine kwa hili nime kutoa  alama 20%

Usitake nikushambulie kaa kimya na ugoje uchaguzi apo waeza enda na kuomba kura bado usimamizi wako nimuzuri mvita.

Mubunge wa Yatta Charles Kilonzo

Wakenya ni vizuri sana kukaa na kujuana tulivyo kwa tabia zetu na hali zetu apa Kenya.

Sikatai kuwa sote uwa tofauti kwa mawazo na fikira na kibaya zaidi nikuona mtu anapata mshahara na huku anapewa pesa kupiga makelele bugeni.

Niaibu na fedheha kua mtu kuzua mambo kitu ikiwa huna hakika nacho wachana nacho na ikiwa una uhakika nacho ongea,Sio una tumiwa kufunika mahovu.

Hii ni KENYA MUPYA

Wednesday 28 March 2012

Nikitandawili kingumu kujua mkikuyu akinuiya kukumaliza

Wenzangu naomba munifafanulie kuhusu hawa wenzetu uwa nivigumu mtu kujua kama anapangiwa kuuliwa na nikwanini wao uwa hodari wakuuwa bila ushahidi?

Ni swala ambalo liko ata mtoto azaliwe na apelekwe ulaya kulelewa uko kuku uwa kwake uwa sikazi ngumu.Namara nyingi ukumaliza bila yakuwacha ushahidi.

Jambo lingine ni kwanini Mama mkikuyu uweza kumaliza ata mtoto wake mwenyewe au mtoto kuuwa Mama kwa mali?

Na uwa vipi wao uweza kuongea na mtu ambae wanapanga kumu uwa bila marehemu kujua wala kuona dalili zozote za kuwa apa leo mambo si mazuri.

Na kitu gani upelekea wao kuwa na ujasiri za nafasi za kazi zikiwa 10 utapata wanaeza patiana zote 10 kwao bila ya uoga wala kujali?

Na hali hii inaonekana wazi na akuna ata mkenya mmoja aweza ongea, Leo mtaita afe nafasi iyo Kibaki atamupa mkikuyu bila uoga wala kusita.

Hata sasa kwa uiyano wakazi(katiba mupya) hali ni hiohio.
Kwa hali hii ningezaliwa mkikuyu afadhali kuliko hivi nilivyo mkamba nala miayo nishida zilizo nizonga(Nairobi usema kusota)

Kikuyu's kills while smiling to you

Why is it Kikuyu's kills and leave no trace?
This are facts of our fellow Kenyans Kikuyu's you can judge me or correct me if you thing am wrong.

 I have witnesed many murder by Kikuyu's.
1;Murder commited by Father,Mother,Sister or brother simply because of wealthy,money or property.

2;Murder commited to husband or wife by wife mostly.

3;Murder commited to a close friend,co-worker boss.

4;Murder commited to a foreigner if he own wealthy in where kikuyu's are majority.
The list is big but let us discus why is this.

    The problem is a Kikuyu's don't show any signs of ill feeling even if he/she is planing to kill you next hour you will never see anything that will make you think of the danger.
    
      Can anyone tell me why is it so,

A Kikuyu kid can be raised in uk,us or far from her parent but still kill for money.Why is this?

Friday 23 March 2012

Watoa rushwa wa kubwa ndio wakushuhulukiwa

Serikali yafaa kushuhulikia watoa rushwa wakubwa hao ndio wanao umiza umma(raiya) kama kweli wao wana utu na ubinadamu.

KAZI YA RUSHWA YAFAA KUSHULIKIWA KWA JITIHADA ZETU SOTE ITAKUWA BURE KAMA WATOA RUSHWA WAKUBWA HAWATOSHUHULIKIWA IPASAVYO

Njaa bado nitishio

Njaa  ni tatizo kubwa kwa mamilioni ya wana nchi apa kwetu Kenya.Kikubwa zaidi ni kua serikali ndio tatizo apa kwetu kutochukua shida ya njaa kama kitu chakupewa kipao mbele nia ndio hamuna.
Tuungane kwa kuwa wakweli na tuchangie vipi kutatua tatizo hili

Saturday 17 March 2012

Wealth that Uhuru father got by dishonesty boils

Uhuru I love you so much if you will only listen to my words and be sincere to yourself,

Vyombo vya Habari apa Kenya

Vyombo vya habari nikiwa na maana ya
Radio
TV,Runinga
Magazeti
Aslimia 98% nivya mafisadi na wanyakuzi ambapo wana pinga mabadiliko yanayo taka kuja kwa hali na mali,
Siwezi nikataja zote lakini nitatoa mfano
Wa kimoja Runinga ya K24 na Gazeti lake la "The People" mbali na Radio kwakua ni yakiluga "Kameme"
Elimisheni jamii ielewe kua hawa watu hawataki mabadiliko apa KENYA,
Na ndio maana wana shambulia kimpango kaa chini mkenya na utafakari(ufikirie) 

Mutahi Ngunyi

Uyu ni mmoja ya watu wanae tumiwa kueneza chuki dhidi ya wakombozi wetu ambao wanataka kututoa kwa shida ilio wekwa na Raisi wa kwanza apa Kenya Jomo Kenyatta.

Wakenya kama Wakenya atuna shida lakini kuna hawa wenzetu ambao uongea vizuri sana ukiwasikiliza lakini uwa namipango yao wenyewe ambao wamejipangia ivyo sio watu wakuaminika ata sekunde moja.

 Niwito wangu mkae na mutafakari haya ninayo waeleza na muamue ki haki bila ya upendeleo kwaku muogopa MUNGU

Sunday 11 March 2012

Wakulaumiwa kwa Bom lajani ni

Anae paswa kulaumiwa katika maafa ya jana katika kituo cha Mabasi yakwenda mikowani ni

1;Mimi
2;Wewe
3;Na Alie fanya icho kitendo
           Kwanini nasema ivyo,Kwa kuwa sote wakenya tunajukumu yakulindana.Nasote ni Polisi

Sina maana yakuwa twaweza jilinda au twajuwa kutumia silaha ama tuna sare za polisi,la asha nina maana yakuwa jambo upimwa na linapo tokea.
       
            Tukio lajana kwasehemu kubwa ni Raiya ndio walaumiwe twafaa kua wasaidizi wa serikali kwakutoa habari haraka ukiona chochote kile ambacho chaeza tishia usalama wamwezako bila yakuchelewa ukitilia watu fulani shaka toa habari kwa polisi.

            Siku izi kati ya wato mia kumi wana simu,iyo gari inayo semekana ilio kua nahao wauwaji mgepiga simu polisi apo kwa hapo au gari lenyewe lige zuiwa(block)na gari legine lolote hao watu wangekua mbaroni nawangesaidia serikali kutegua njama zao ambazo ziko jikoni.

            Serikali kama serikali haiwezi kulinda kila mtu nisisi popote tulipo tukawa macho nakutoa habari yeyote ile kwaserikali.

            Shukrani zangu kwa wote walio saidia majeruhi kwa hajali ya jana nyote nawapongeza kuweni na moyo huo huo.
          
          Wakenya tuweni macho na mutoe habari yeyote munao iyona sisawa kwa vyombo vya dola iliwachukue hatua,

Sunday 4 March 2012

UTAWALA BORO

Wataalam wawasaidie serikali kuchunguza nani alaumiwe kwa kazi yake

Friday 2 March 2012

Shida tunazo pewa ni kundi ndogo ni dogo tukimukumbuka Mola (click usome)

Psalms34;15.......Mungu usikiza vilio(za wanyonge kama maovu yanayo tendwa ni mkuu wa benki apa Kenya Bwana Njunguna Ndung'u)Yafaa wakenya sote tuombe natutajibiwa hawa wezi hatuwawezi wanazo pesa za kumwaga kila mahali ivyo kilicho baki ni kumuomba mungu tu,

Shida ya mwenzio niyako.

Suratul Al- Baqarah aya 152 ya sema "Basinikumbukeni nitakukumbukeni; na nishukuruni wala msinikufuru"

Faz-kuruuniii 'az-kurkum washkuruu lii wa laa takfuruun.
Usifikiri kua leo hauna shida ukaona basi watu wangaishwe KENYA wanavyo angaishwa jua kuwa kila mtu ataulizwa je Mlimuona Kibaki kalemea upande mmoja mbona mukakimya,

USISEME HAYAKUHUSU SHIDA ZA BINADAMU MWENZIO NIZAKO NAZETU SOTE

Dalili za kuangalia kabla uja funga pingu za maisha/kama utakua na maoni tofauti komenti apo chini ni kujadiliana kwafaida ya wengi swala la NYERI Limeibua mengi

1; Mtu akiwa muongo dalili mbaya
2;Mtu akiwa msiri dalili mbaya
3;Mwenzako akiwa hataki kukutambulisha kwa ndugu zake wazazi wake na hata marafiki zake iyo ni dalili mbaya.
4;Ikiwa hataki uguse simu yake dalili mbaya
5;Hakiwa na tabia ya kufuta sms's
6;Mtu akiwa ataki muonekane nae  hataki mutoke nae basi apo pabaya
7;Akiwa aongei mstakabal(maisha yenu ya baadae apa sipema
8;Yako mengine mengi lakini wacha nawe uchagie nisije nikamaliza yote

Ukiwa na shida yoyote jipe moyo(ndio kitu nilicho eleza ndani apa click usome undani)

       Binadamu twataka tujipe moyo tunapo kumbwa na matatizo ya aina yeyote ile natumtegemee Mungu kama walivyo mtegemea Mungu watu wengi  kwakuwataja kimajina sitoweza kumaliza orodha nindefu ila nitolee mfano mja wa MUNGU ambae ametajwa katikabu vitakatifu zote viwili nikimaanisha biblia na kurani
     
       Uyu si mwengine ni Job ambapo maelezo yake yako kwa Job 1;1 mpaka 22/Job 2;1 mpaka 13 kwa ufupi soma JOB1,2,3,4,5,6,7,8,9 ZIKO MPAKA 42 kisa na mkasa wake ili ujue undani zaidi kwakua sivyema kuamini wanao jiita Masheikh na Maskofu kama mtu awezi kutaja wapi kitu kimeandikwa uyo usimsikize kabisa.
       Dunia siku izi imejawa na  uwizi na unyama wa hali yajuu na wengi si wote wanatumia jina La Mungu kuwalagai binadamu nzao.
        
       Palikua na mtu ajulikanao kwa Jina la JOB Ali ishi kwa mji wa UZ Ambae alikukua mcha MUNGU wakweli na alimtii kwa amri zake zote na halijiadhari asifanye chochote kibaya cha kumuudhi MUNGU.
       Alikua na mali chungu zima.

Mungu akamuuliza Shetani ulikua wapi na Mungu anayo habari yatunachofanya fikiria na kilichoko moyoni mwetu lakini alimuuliza tu ulishinda wapi leo shetani?

       Ibilisi akamjibu nimekua nikitembea huku na kule Duniani
Mola akamuliza je umemuona mjawangu Job?Akuna katika Dunia kama Job kwakunitii na kunia
abudu kama Job.
           Na uchunga asifanye madhambi.
Shetani akajibu je Job angekutii na kukuabudu kama hungemupa mali na kumlinda?
          Umekua ukimubariki Job kwa chochote akifanyacho,Hangekutii na kukuabudu kama ungechukua mali ulio mupa.
         Aya chochote alicho nacho kikokwa himaya yako lakini usimudhuru.
Shetani aka angamiza mali yote ya JOB
        Lakini Job akasema nilizaliwa nikiwa sina kitu na nitakufa bila kitu"I was born with nothing and I will die with nothing........"(job1;21)
           Kutokana na yote Job hakumutakana MUNGU.
IVyo Maringo na Wizi na ubaya pamoja na ukabila hauta kusaidia kwa chochote kile mali unayo umeikuta apa Duniani na utaicha  hapa Duniani sivyema kuirigia.
         Wala usiuzunike kupoteza Mali,Watoto na vitu vyengine huenda ikawa ni vituko tu vya shetani ambae ni adui alie wazi kwetu sote.
JIPE MOYO KWA YOTE UNAYO KUMBANA NAYO