Sunday 26 February 2012

Nani shetani

Shetani ni kiumbe ambacho teyari hukumu yake isha wekwa kua yeye ni wamotoni tu apende asipende iyo ni kwa 100%
    Na ilikua vipi mpaka akwawa hukumu yake kua ni motoni.

Kwa waislamu imeandikwa Sura ya Bani Israil aya ya 61"Na tulipo waambia malaika msujudieni Adamu, wakamsujudia isipokua Ibilisi. Akasema:Je nimsujudie yule uliemuumba kwa udongo.

62;Akasema(ibilisi kumueleza MUNGU)Unaona uyu ulie mpa heshima zaidi kuliko mimi.Kama ukinipa muda mpaka siku siku ya kiama,bila shaka nitakiangamiza kizazi chake ila wachache tu.

63;Mungu akasema"Ondoka!Atakae kufuata miongoni mwao basi hakika Jahanamu ndio malipo yenu,malipo kamili.

64;Nawavute uwezao miongoni mwao kwa sauti yako, na uwakusanyie wapandao farasi na waendao kwa miguu.Nashirikiana nao katika mali(yao) na watoto(wao)na wahidi (ahadi za uwongo)Kwakuwa shetani hawapi ahadi ila wa udanganyifu(kwani hana lolote lake yote niya MOLA)

65;Hakika waja wangu huna mamlaka juu yao.Na Mola wako anatosha kua mlinzi(wao)

Sinyote mna mkumbuka kile kisa cha mwana mpotevu"The lost son"Ayo yalikua matendo yashetani(Luke15;11to34)
 Simunakumbuka alivyo mtia Yesu kristo kwa majaribio kama nilivyo eleza apa juu akimwambia mbindua mawe yawe mkate,jirushe utaokolewa,niabudu.
 Basi huyo ndie shetani ibilisi ambae amefanya wa apa kenya waibe mpaka wengine wana ibaka kwajina la MUNGU.
       Tangu lini sadaka ikiwekewa kiwango,eti panda mbegu ya 500ksh 1000ksh nakwenda juu na eti mtumishi wa MUNGU anatangaza kua toa pesa ndio uombewe ajabu hali ni mbaya zaidi apa kenya

No comments:

Post a Comment